Skip to main content

Posts

Showing posts from March 23, 2016

UMOJA WA KWELI

Kati ya vitu ambavyo Mungu hupendezwa navyo ni umoja •Umoja unamruhusu Mungu afanye kazi pamoja na wewe MWANZO 1:26 "MUNGU akasema na tumfanye mtu kwa mfano wetu,na kwa sura yetu wakawatawale samaki wa baharini na ndege wa angani na wanyama na nchi yote pia na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi" Kupitia huo mstari tunaona kabisa Mungu akisema na " tumfanye" ni dhahiri kua Mungu hakua peke yake Alikua MUNGU BABA,MWANA NA ROHO MTAKATIFU. Kwahio Mungu mwenyewe alimuumba binadamu katika hali ya umoja. •Mungu anaheshimu umoja na tukishikamana na kukubaliana Mungu anakua pamoja nasi. Matendo 4:31-32 " Hata walipokwisha kumwomba Mungu mahali pale walipokusanyika pakatakaswa wote wakajaa Roho mtakatifu wakanena neno la Mungu kwa ujasiri Na jamii ya watu walioamini walikua na moyo mmoja na roho moja wala hapana mmoja aliyesema ya kuwa kitu chochote alichonacho ni mali yake mwenyewe bali walikua na vitu vyote shirika.

NJIA TANO ZAKUFANIKIWA

Bwana asifiwe, Kila mtu anapenda kufanikiwa, lakini tatizo limekua ni namna gani ambavyo mtu unaweza kufanikiwa. Leo nmewaandalia njia tano ambazo wewe mkristo ukifuatilia lazima uone mafanikio. Unatakiwa ujue mambo haya kwanza kabla hujafikiria jinsi ya kufanikiwa Ni mapenzi ya MUNGU kuona wewe unafanikiwa 3 YOHANA 1:2 " Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote na kua na afya yako, kama vile roho yako ifanikiwavyo" Ni MUNGU pia anayekupa nguvu za kuweza kufanikiwa  KUMBUKUMBU LA TORATI 8:18 " Bali utamkumbuka BWANA ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako kama hivi leo"  Baada ya kufahamu hayo sasa basi tutakwenda kuona ni vitu gani ambavo vinaweza kumfanya mkristo afanikiwe kwa kupitia mifano halisi kwenye neno la MUNGU.     1.  KUISHI VIZURI NA MUNGU Jinsi utakavoishi na kumpendeza MUNGU ndivo MUNGU atakapo kukubariki na kukuongeza zaidi na zaidi. ZABURI 1:1 "  Heri mtu yu...

HOW GOD TALKS YOU

You are designed to act with GOD talk with him, plan with him mathew 4:1-4 you can fast and pray but unless you live in GOD word as well u miss the point. knowing facts bout jesus does not change ur relationship with him take ur time to read GOD words to discover wat GOD has to say about you every day in the word you meet GOD face to face. read it-it has healin power, food for our soul, guide for our feet, to keep us from sin and error, it rejoice the heart. wen you read the bible ur hearing GOD talk prayer and bible reding should always go together one is not complete without the other. read it attentively slowly and systematically wen satan came to present his temptetion jesus quoted scripture as answer fill ur prayer with scriptures roman 8-31 if yo mark 16:17-18-those who taken gods word to heart pryer is a two way conversation you talk to god and then you listen while he talk to u the bible is about wat god say to you dont bring wat you think you need to hear ...

Ni mfalme gani wa israel ambaye alifanya israel igawanyike na kua falme mbili?

Total Pageviews

Followers