Skip to main content

Posts

Showing posts from April 11, 2018

HATUA KATIKA WITO

Kutoka 3:2 Malaika wa Bwana akamtokea, katika mwali wa moto uliotoka katikati ya kijiti; akatazama, na kumbe! Kile kijiti kiliwaka moto, nacho kijiti hakikuteketea. Yamkini una wito ndani yako na labda unajua kua Mungu amekuita kwa ajili ya kitu fulani. Mungu akikuita ujue kuna maagizo anataka uyatekeleze, Mungu hatokuita tu ilimradi tu uokoke afu uwe unaenda kanisani na kurudi iishie hapo, kuna zaidi ya hapo, kuna kusudi maalumu kabisa ambalo anataka yeye alifanikishe hapa duniani na ili alifanikishe anaona ni vema akutumie wewe. Wito sio kua mchungaji,mwalimu,nabii au mtume peke yake Kazi yako inaweza ikawa wito wako pia. Kupitia hio kazi Kuna vitu Mungu anataka kuvifanikisha hapa duniani. Kuna hatua katika wito wako,zifuatazo ndio hatua za kuendea wito wako. 1- KUSHUHUDIA MATENDO MAKUU Hatua ya kwanza katika Mungu kukutafuta wewe hua anakupa kibali cha wewe kushuhudia matendo makuu yakitendeka mbele ya macho yako,utaona watu wakiponywa,utaona miujiza ya kip...

Ni mfalme gani wa israel ambaye alifanya israel igawanyike na kua falme mbili?

Total Pageviews

Followers