Skip to main content

Posts

Showing posts from April 5, 2018

NYARAKA ZA YEZEBELI part 2

NYARAKA ZA YEZEBELI Inaendeleaa.... Sasa napenda kuendelea pale nilipoishia kwenye hili somo letu, nataka niwekee msisitizo zaidi kwenye eneo la nyaraka Mathayo 2:4 Akakusanya wakuu wa makuhani wote na waandishi wa watu, akatafuta habari kwao, Kristo azaliwa wapi? Herodi alisikia Yesu kazaliwa Ila hakujua kazaliwa wapi Ila kwasababu anaufahamu wa mambo ya kiroho Akakusanya makuhani Na waaandishi wa watu Akawauliza Kristo kazaliwa wapi? herodi alijua kama kristo kazaliwa lazima hata sehemu aliozaliwa lazima iwe imeandikwa kua atazaliwa wapi Maana anajua kila kitu lazima kiandikwe kabla hakijatimia Mathayo 2:5 Nao wakamwambia, Katika Bethlehemu ya Uyahudi; kwa maana ndivyo ilivyoandikwa na nabii, Wakajibu wakasema bethlehemu kama ilivyoandikwa Kumbe walijua kabisa Yesu atakua bethelehemu kwasababu imeandikwa hivo Kazi moja wapo ya Yezebeli ni anahusika na nyaraka Ukiona wewe unapita katika hali ya umasikini ujue Yesebeli kuna barua ameandika juu yako k...

NYARAKA ZA YEZEBELI part 1

NYARAKA ZA YEZEBELI 1 Wafalme 19:2-3 Ndipo Yezebeli akampelekea Eliya mjumbe, kusema, Miungu wanifanyie hivyo na kuzidi, nisipokufanya roho yako kesho, panapo wakati huu, kama roho ya mmojawapo wa hao. Naye alipoona hayo, aliondoka, akaenda aihifadhi roho yake, akafika Beer-sheba, mji wa Yuda, akamwacha mtumishi wake huko. neno nyaraka sio geni Nyaraka ni documents Documents zilizoandikwa jambo husika Biblia ni nyaraka tofauti tofauti za watumishi wa Mungu zizlizoletwa pamoja Nyaraka za yezebeli Ni nyaraka au documents ambazo anaziandika yezebeli Umuhimu wa nyaraka Wewe unaweza kua dereva mzuri sana Na traffick anaona kabisa unaendesha vizuri wala huendi kinyume na sheria za barabarani Lakini akikusimamisha afu akagundua hauna driving license Kwa kweli hapo hapo utapigwa fine Ina maana documents ni muhimu sana Nyaraka ni muhimu sana Ni kutolee mfano wa kiroho Yesu alipojaribiwa Alimshinda shetani kwa nyaraka Alikua anasema imeandikwa Imeandikwa Ina m...

GOD's ARMY APPLICATION FOR ANDROID USERS ONLY

Jipatie application ya GOD's ARMY kwa watumiaji wa simu za android pekee eg Samsung,Techno,Huawei,Sony,LG etc Kama unatumia Windows Phone,Iphone haitokubali DOWNLOAD HAPA

Ni mfalme gani wa israel ambaye alifanya israel igawanyike na kua falme mbili?

Total Pageviews

Followers