Skip to main content

Posts

Showing posts from March 31, 2016

KANUNI ZA KUFANYA ILI MAOMBI YAKO YAJIBIWE NA MUNGU (SEHEMU YA KWANZA)

       ISAYA 28:13 "Kwa sababu hiyo neno la BWANA kwao litakuwa hivi, amri juu ya amri, amri juu ya amri, KANUNI juu ya KANUNI, kanuni juu ya kanuni; huku kidogo na huku kidogo......" Mungu huwa anafanya kazi kwa kutumia kanuni zake alizojiwekea ili kuyaendesha maisha ya mwanadamu Kwahiyo unapofanya maombi ni lazima uelewe kanuni za Mungu anazotumia katika kujibu maombi ya wanadamu waliopo hapa duniani. Na kanuni hizo utazipata ndani ya Neno la Mungu, mimi kama mwalimu nataka nikusaidie kukuonyesha baadhi ya kanuni hizo. HATUA NNE ZA KUPITIA MAOMBI: Katika wewe kuomba huwa hayo maombi yako ni lazima yapitie ngazi/hatua hizi { i } Ni kuomba Nilazima wewe uombe hilo ni jukumu lako. { ii } Ni Mungu kusikia maombi yako. Unapoomba hatua inayofuata ni Mungu kusikia hayo maombi. { iii } Ni Mungu kutafakari hayo maombi yako. Baada ya wewe kuomba na Mungu kutafakari, huwa hatua inayofuata ni Mungu kuyatafakari hayo maombi yak...

Hillsong-oceans lyrics

" Oceans(Where Feet MayFail )" You call me out upon the waters The great unknown where feet may fail And there I find You in the mystery In oceans deep My faith will stand And I will call upon Your name And keep my eyes above the waves When oceans rise My soul will rest in Your embrace For I am Yours and You are mine Your grace abounds in deepest waters Your sovereign hand Will be my guide Where feet may fail and fear surrounds me You've never failed and You won't start now So I will call upon Your name And keep my eyes above the waves When oceans rise My soul will rest in Your embrace For I am Yours and You are mine [6x] Spirit lead me where my trust is without borders Let me walk upon the waters Wherever You would call me Take me deeper than my feet could ever wander And my faith will be made stronger In the presence of my Savior Oh, Jesus, you're my God! I will call upon Your name Keep my eyes above the waves My soul will rest in Your embrace I am Yours ...

Ni mfalme gani wa israel ambaye alifanya israel igawanyike na kua falme mbili?

Total Pageviews

Followers