Skip to main content

Posts

Showing posts from April 2, 2018

NGOME YA KUANGUSHA

2 Wakorintho 10:4 (maana silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome;) Biblia inasema silaha za vita vyetu si za mwili. Kwahio tujue mpaka hapo tupo kwenye vita Maana hatuwezi tukawa tunaongelea kuhusu maswala ya silaha za vita wakati hatuna vita Kwahio hapo nikukujulisha kua tupo kwenye vita. Lakini pia ni kukujulisha kua hio vita haitumii silaha unazozijua hizi za mwili Yani bunduki,mabomu nk Ila zinauwezo katika Mungu, Kwa tafsiri rahisi hizo silaha zimetengenezwa na Mungu Na kila silaha inauwezo wake Tunajua kuna bunduki ina uwezo wake Kuna short gun pia kuna sniper hizi zote ni silaha lakini zinauwezo tofauti Hivo nategemea kuona silaha hizi ambazo zina uwezo katika Mungu zinauweza wake Na kutokana huu mstari tunajulishwa hizo silaha zinauwezo kiasi kwamba zinaweza kuangusha ngome Ngome ni majumba yaliojengwa kwa ufasaha ambayo ukuta wake ni mgumu na ni imara sana sio rahisi uanguke Kwahio hizo silaha zinauwezo wa kuan...

YAKOBO NA ISRAELI

Isaya 48:12 Nisikilize mimi, Ee Yakobo; na Israeli, niliyekuita; mimi ndiye. Mimi ni wa kwanza, na mimi ni wa mwisho pia. Mstari huu tunaona situation Mungu akitaka attention ya mtu lakini anamuita kwa majina mawili Jina la kwanza anamuita yakobo alafu anamuita israel Utashangaa kujua kua Mungu mwenyewe alimbadilisha jina Yakobo kua Israel na akamwambia kwanzia leo hutoitwa kwa jina la yakobo Mwanzo 32:28 Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda. Kwahio Mungu mwenyewe alisema kua hatoitwa tena yakobo Hii inatuonyesha kua ujumbe huu anaoutoa yamkini umesababishwa na yakobo na israel Au kwa tafsiri nyingine umesababishwa na tabia za kale za israel Ikiwa na maana Yakobo tabia za ukale Maana tafsiri ya neno jina ni tabia Kwahio akimuita mtu kwa jina la zamani ina maana bado anaona kuna tabia za zamani bado zipo ndani ya huyo mtu. Au niseme hivi kama israel amebadilishwa jina Ukiitwa kwa jina la zamani...

Ni mfalme gani wa israel ambaye alifanya israel igawanyike na kua falme mbili?

Total Pageviews

Followers