Skip to main content

Posts

Showing posts from April 3, 2018

WAMNGOJEAO BWANA

Isaya 40:31 bali wao wamngojeao Bwana watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watapiga mbio, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia. Ebu vuta hisia zako uko mahali unamgojea mtu. Afu jiulize unamgojea aje kufanya nini? Je una appointment nae? Kwa maswali haya tu ni dhahiri kabisa hauwezi kumngojea mtu kama hamjapanga mkutane mahali au kama hajakwambia umsubiri mahali. Biblia inasema wamngojeao Bwana Tujiulize kwanini unamgojea Bwana, je una appointment yeyote na yeye, Je amekwambia umsubirie labda akuletee kitu. Ebu tafakari unamgojea Bwana afanyaje? Usije ukawa unamgojea wakati yeye hana taarifa yeyote kwamba unamgojea Kwahio ili ufike hatua ya kumngojea mtu lazima pande zote mbili ziwe na taarifa Yamkini kuna kitu umemuomba Mungu Akasema subiri Basi wewe unatakiwa umngojee Bwana. Mungu akikuahidi jambo lazima ujifunze kumngojea hadi pale atakapotimiza Ili uweze kumngojea Bwana Anza kwa kumsikiliza yeye, jifunze kumsikili...

Ni mfalme gani wa israel ambaye alifanya israel igawanyike na kua falme mbili?

Total Pageviews

Followers