Skip to main content

Posts

Showing posts from April 29, 2016

TALAKA SIO MPANGO WA MUNGU, NI WA SHETANI

Bwana Yesu asifiwe? Talaka ni mpango wa shetani kuhakikisha kuwa umeishi maisha ya kuishi peke yako ila kusudi la Mungu ni uishi na mke/mume wako. Baada ya Mungu kumuumba Adamu, aliutoa ubavu wake na kumuumbia mkewe Hawa na Mungu ataitwa mwanamke maana ametolewa kwa mwanamume. Mwanzo 2:24 " Ndiyo maana mwanamume humwacha baba yake na mama yake akaambatana na mkewe nao wawili huwa mwili mmoja " Ndoa ilianzishwa na Mungu mwenyewe na hakuianza kwa kusudi la kutalakiana ila ni idumu milele kwani ni kifo pekee chenye ruhusa ya kuitenganisha ndoa. Ninajua nimekukumbusha mengi kwa ujumbe huu maana ulitalakiwa au kutalakiana ila naomba kukwambia huo haukuwa mpango wa Yehova Mungu wako. Wengi talaka zao huletwa na uasherati/ uzinzi, ulevi, utasa/ugumba, usingiziaji, kukataliwa na mavyaa/ bavyaa na hata kuyatii mashauri madhaifu ya mchungaji wako ambaye anaweza kuwa ni nabii/mwalimu wa uongo. Pia najua ninakukumbusha kuwa unaweza kuwa ulichangia kuvunja ndoa ya mtu ila leo na...

DHAMBI MOJA HUVUTA NYINGINE NA KUMFANYA MTENDAJI AENDELEE KUZAMA

Bwana Yesu atukuzwe? Dhambi ni tendo lenye mvuto mkubwa ambapo mtu anapoitenda moja huvuta kiu fulani na kumpelekea mtu yuyo huyo kuitenda dhambi nyingine. Shetani ni mshawishi mkuu wa kukutumbukiza kwa dhambi moja kwenda nyingine kwani atakuchochea uibie rafiki yako leo na ukifaulu atakuja tena kesho akukumbushe jana akwambie uirudie dhambi ile ya jana maana hakuna mtu alikuona. Wakati huo utakuwa unasikia sauti ndogo ya kukunong'onezea ikikwambia: "Enda uregeshe kile ulichoiba jana na usirudie kuiba tena leo" Sauti hii inaweza kuwa ni wazo kwa akili yako kisha ukiitii huwa umempendeza Mungu wa mbinguni. Unapofanya uzinzi/ uasherati na mwenzako, dakika moja baada ya tendo utasikia sauti fulani ikikuhukumu na kukuuliza kwanini umefanya uovu huu? Sauti hii ndio iitwayo Roho wa Mungu inayokuhukumu ukifanya dhambi na inakutaka utubu na kuacha kabisa dhambi hiyo. Leo Mungu kupitia Roho wake amenituma nikwambie kuwa kuna kitu cha mtu umechukua na unajua vizuri kuwa sio ch...

Ni mfalme gani wa israel ambaye alifanya israel igawanyike na kua falme mbili?

Total Pageviews

Followers