Isaya 48:12
Nisikilize mimi, Ee Yakobo; na Israeli, niliyekuita; mimi ndiye. Mimi ni wa kwanza, na mimi ni wa mwisho pia.
Mstari huu tunaona situation Mungu akitaka attention ya mtu lakini anamuita kwa majina mawili
Jina la kwanza anamuita yakobo alafu anamuita israel
Utashangaa kujua kua Mungu mwenyewe alimbadilisha jina Yakobo kua Israel na akamwambia kwanzia leo hutoitwa kwa jina la yakobo
Mwanzo 32:28
Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda.
Kwahio Mungu mwenyewe alisema kua hatoitwa tena yakobo
Hii inatuonyesha kua ujumbe huu anaoutoa yamkini umesababishwa na yakobo na israel
Au kwa tafsiri nyingine umesababishwa na tabia za kale za israel
Ikiwa na maana Yakobo tabia za ukale
Maana tafsiri ya neno jina ni tabia
Kwahio akimuita mtu kwa jina la zamani ina maana bado anaona kuna tabia za zamani bado zipo ndani ya huyo mtu.
Au niseme hivi kama israel amebadilishwa jina
Ukiitwa kwa jina la zamani unaweza kuitikia maana itakuchukua mda kuzoea jina jipya
Sasa tafsiri yake ni hii
Ukiamua kubadilika tabia kuna vitu vinaweza vikafanyika vikakufanya bado utende kama zamani
Hivo basi Mungu anasema haya kwa sababu ameona israel bado anasumbuliwa na tabia za zamani (yakobo)
Anaendelea kusema mimi ni wa kwanza na wa mwisho pia
Ina maana kama ni mstari ukienda kuangalia wa kwanza ni nani utamkuta Mungu
Ukienda kuangalia wa mwisho nako utamkuta
Kwahio Mungu anajua habari za mwanzo na anajua za mwisho pia
Ina maana kama ni maisha yako anayajua tokea mwanzo na hadi mwisho hata kama hujafika mwisho
Kwahio haijalishi utapitia mangapi hapo katikati lakini mwisho wake Mungu anaujua tayari
Ushuhuda Wangu wa Kutoka Moyoni 💖
ReplyDeleteBaada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba mirefu, nilikuwa nimevunjika moyo kabisa. Alinizuia kwenye mitandao yote ya kijamii, akaondoka, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Karibu nikate tamaa, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitendea.
Siku moja, bosi wangu kazini aligundua jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dkt. Dawn. Dkt. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu angerudi kwangu ndani ya siku tatu. Kwa kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao wangu mkubwa, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.
Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa na nguvu na uzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akipenda na kunijali mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa katika miezi miwili tu! ❤️
Shukrani zote kwa Dkt. Dawn, ambaye kwa kweli alifanya jambo lisilowezekana liwezekane. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:
Masuala ya uhusiano au ndoa
Ugonjwa au magonjwa
Matatizo ya utasa au bahati nasibu
Kesi za mahakamani au urejeshaji wa mali
Dkt. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurudisha furaha katika maisha ya watu.
Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com