1-LUKA 1:37
"Kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu"
Tambua kua hakuna kinachomshinda Yesu, jambo unaloona ni gumu mnoo kwa Mungu ni dogo sana.
,
2- ISAYA 49:15
"Je mwanamke aweza kumsahau mtoto wake anyonyae, hata asimhurumie mwana wa tumbo lake? Naam, hawa waweza kusahau, lakini mimi sitakusahau wewe"
Tambua hata kama unapitia magumu kivipi Mungu hajakusahau na kama alivowakumbuka wana wa israel atakukumbuka.
3- EZEKIEL 37:5
"Bwana Mungu aiambia mifupa hii maneno haya, tazama nitatia pumzi ndani yenu, nanyi mtaishi"
Kama kuna chochote kimekufa kwenye maisha yako basi ujue kinaweza kufufuka maana kama Mungu aliweza kutia pumzi na kuipa uhai mifupa mikavu, basi hilo jambo unalosumbuka nalo ni dogo sana ndugu muamini Mungu atakuinua na kukufikisha ulipokusudiwa.
4- YOHANA 14:13
"Nanyi mkiniomba lolote kwa jina langu, hilo nitafanya, ili Baba atukuzwe ndani ya mwana"
Ni nafasi ya kipekee kila mkristo amepewa kua na uwezo wa kuomba jambo lolote kupitia jina la Yesu na atatufanyia.
Note
Yote haya unaweza kupata tu kama utamkiri Bwana Yesu kua mwokozi wa maisha yako.
Fuata sala hii kama unataka kumpokea Kristo awe Bwana na mwokozi wako, Kisha tafuta kanisa la kiroho ili uweze kukulia wokovu.
SALA YA TOBA
BWANA YESU,NAJA KWAKO (MIMI) KAMA NILIVYO,NIMETAMBUA YA KWAMBA MIMI NI MWENYE DHAMBI.NIMETAMBUA YA KWAMBA NI WEWE TU UNAYEWEZA KUNISAMEHE NA KUNITAKASA.NAOMBA UNISAMEHE DHAMBI ZANGU ZOTE. NAOMBA ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU,NA KULIANDIKA KATIKA KITABU CHA UZIMA WA MILELE. NAYAKABIDHI MAISHA YANGU KWAKO,UNILINDE NA MWOVU SHETANI. NAJITOA KWAKO KUANZIA LEO/SASA,UNIFANYE KUWA KIUMBE KIPYA NA UNITUMIE KAMA UPENDAVYO. AHSANTE KWA KUNIKUBALI AMEN.
Contacts
Phone no: 0659447445
Email: ste.bernard@yahoo.com
"Kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu"
Tambua kua hakuna kinachomshinda Yesu, jambo unaloona ni gumu mnoo kwa Mungu ni dogo sana.
,
2- ISAYA 49:15
"Je mwanamke aweza kumsahau mtoto wake anyonyae, hata asimhurumie mwana wa tumbo lake? Naam, hawa waweza kusahau, lakini mimi sitakusahau wewe"
Tambua hata kama unapitia magumu kivipi Mungu hajakusahau na kama alivowakumbuka wana wa israel atakukumbuka.
3- EZEKIEL 37:5
"Bwana Mungu aiambia mifupa hii maneno haya, tazama nitatia pumzi ndani yenu, nanyi mtaishi"
Kama kuna chochote kimekufa kwenye maisha yako basi ujue kinaweza kufufuka maana kama Mungu aliweza kutia pumzi na kuipa uhai mifupa mikavu, basi hilo jambo unalosumbuka nalo ni dogo sana ndugu muamini Mungu atakuinua na kukufikisha ulipokusudiwa.
4- YOHANA 14:13
"Nanyi mkiniomba lolote kwa jina langu, hilo nitafanya, ili Baba atukuzwe ndani ya mwana"
Ni nafasi ya kipekee kila mkristo amepewa kua na uwezo wa kuomba jambo lolote kupitia jina la Yesu na atatufanyia.
Note
Yote haya unaweza kupata tu kama utamkiri Bwana Yesu kua mwokozi wa maisha yako.
Fuata sala hii kama unataka kumpokea Kristo awe Bwana na mwokozi wako, Kisha tafuta kanisa la kiroho ili uweze kukulia wokovu.
SALA YA TOBA
BWANA YESU,NAJA KWAKO (MIMI) KAMA NILIVYO,NIMETAMBUA YA KWAMBA MIMI NI MWENYE DHAMBI.NIMETAMBUA YA KWAMBA NI WEWE TU UNAYEWEZA KUNISAMEHE NA KUNITAKASA.NAOMBA UNISAMEHE DHAMBI ZANGU ZOTE. NAOMBA ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU,NA KULIANDIKA KATIKA KITABU CHA UZIMA WA MILELE. NAYAKABIDHI MAISHA YANGU KWAKO,UNILINDE NA MWOVU SHETANI. NAJITOA KWAKO KUANZIA LEO/SASA,UNIFANYE KUWA KIUMBE KIPYA NA UNITUMIE KAMA UPENDAVYO. AHSANTE KWA KUNIKUBALI AMEN.
Contacts
Phone no: 0659447445
Email: ste.bernard@yahoo.com
Comments
Post a Comment