 |
Nabii Lightness Somi |
|
|
"Ukiwa ni mtu wa kusikiliza utapotea,ukiwa ni mtu wa kusikia utafanikiwa"-LIGHTNESS SOMI
 |
Mtume na Nabii Josephat E. Mwingira |
|
|
"Tendo lolote baya, neno lolote baya na wazo lolote baya halina uhai. Kushindwa kwa mtu, kuharibiwa kwa mtu kuko katika mawazo yake. Chochote kibaya unachowaza au kusema au kutenda ni kwa ajili ya uharibifu wako, kushindwa kwako, kuangamia kwako na kifo chako.Kabla hujafanya jambo tafakari sana hilo wazo litaleta uharibifu au uhai wako? "-JOSEPHAT MWINGIRA
 |
Mwl. Mwakasege |
|
"Usifanye maombi ya kutaka kama vile"kumlazimisha" Mungu, ili akupe nje ya ratiba yake;kile alichokupangia ukipate, kufuatana na njozi aliyo nayo juu yako".- MWL. MWAKASEGE
 |
Pastor. Chriss Oyakhilome |
"Jaribu linaweza lisiondoke hata ukiomba, na lisipo ondoka ina maana Mungu anaamini amekufundisha vya kutosha kuweza kushinda hilo jaribu".-CHRISS OYAKHILOME
 |
Prophet T.B Joshua |
|
"Mtu mwenye malengo huangalia ubadae wake na sio mazingira, usiruhusu mazingira yakabadilisha mwelekeo wako"-T.B JOSHUA
 |
Bernard Steven |
|
"Siku zote mama mjamzito akikaribia kujifungua uchungu ndo unazidi, hata jaribu linapozidi kua kali tambua mwisho wake umekaribia, usikate tamaa, jipe moyo mkuu"-BERNARD STEVEN
Kama bado hujampokea YESU kua Bwana na mwokozi wako fuata sala hii kisha tafuta kanisa la kiroho uweze kukulia wokovu
SALA YA TOBA
BWANA YESU,NAJA KWAKO (MIMI) KAMA NILIVYO,NIMETAMBUA YA KWAMBA MIMI NI
MWENYE DHAMBI.NIMETAMBUA YA KWAMBA NI WEWE TU UNAYEWEZA KUNISAMEHE NA
KUNITAKASA.NAOMBA UNISAMEHE DHAMBI ZANGU ZOTE. NAOMBA ULIFUTE JINA LANGU
KATIKA KITABU CHA HUKUMU,NA KULIANDIKA KATIKA KITABU CHA UZIMA WA
MILELE. NAYAKABIDHI MAISHA YANGU KWAKO,UNILINDE NA MWOVU SHETANI.
NAJITOA KWAKO KUANZIA LEO/SASA,UNIFANYE KUWA KIUMBE KIPYA NA UNITUMIE
KAMA UPENDAVYO. AHSANTE KWA KUNIKUBALI AMEN.
Contacts
Email:ste.bernard@yahoo.com
Phone no:0659447445
Comments
Post a Comment