Jifunze kuyafuata mapenzi ya Mungu na kuyakubali. Wakati mwingine mapenzi ya Mungu yanaweza kuwa machungu kwako. Lakini ukiyakubali na kutii ziko faida kubwa. Lakini pia ziko hasara kubwa kama utayadharau na kutokuyafuata mapenzi hayo ya Mungu.
Ni rahisi kusema Baba yetu uliye mbinguni mapenzi yako yatimizwe! Lakini yakitimizwa hatuko tayari kuyapokea wala kuyakubali!
Maana sisi tunataka kuyapokea yaliyo mazuri tuu au yale yanayoziburudisha nafsi zetu hata kama siyo mapenzi ya Mungu.
Kuna wakati mwingine yanatokea mambo magumu katika maisha yetu nasi katika hali hizo tunajikuta tunamkosea sana Mungu. Bila kujua yamkini pia hayo ni mapenzi ya Mungu kwako.
Ukiisoma vizuri Bibilia utagundua kuwa matatizo aliyoyapata Ayubu yalikuwa ni mapenzi ya Mungu. Kwa kuwa! Mungu ndiye aliyemruhusu shetani na kumpa kibali cha kwenda kutwaa mali zote za Ayubu.
Lakini tunaona hata katika adha hiyo bado Ayubu alimtukuza Mungu na hakumkosea Mungu.
Tujifunze kumtukuza Mungu hata tupitapo katika nyakati ngumu.
Tujifunze kumuinua Mungu hata pale yatupatapo mabaya.
Stephano anapigwa mawe lakini bado hakumkosea Mungu zaidi ya kutamka kuwa anaziona mbingu na pia kuwaombea rehema wale waliomuua.
Wakristo wengi wamekuwa siyo wavumilivu pale wanapopatwa na shida. Kwani wamekuwa watu wakukata tamaa sana na hata wakati mwingine kuiacha imani kabisa na kwenda kwa waganga wa kienyeji!
Kumbe huwezi kujua ni Mungu anakujaribu ili aone upendo wako kwake niwa kiasi gani.
Maana Mungu aweza kuruhusu jambo fulani gumu kwako ili na wengine wajifunze kupitia wewe alafu siku ya mwisho wamtukuze Mungu pale utakapovuka salama na kwa ushindi.
Mapenzi ya Mungu yanaweza kuwa na maumivu wakati fulani lakini simama na Bwana tena kwa shukurani mwambie Mungu asante hata kwa hili.
Ayubu akasema tupokee mema tu kwa Bwana na mabaya tusipokee!? Hapa ndipo hekima ya Mungu inahitajika sana.
Barkiwa
Ushuhuda Wangu wa Kutoka Moyoni 💖
ReplyDeleteBaada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba mirefu, nilikuwa nimevunjika moyo kabisa. Alinizuia kwenye mitandao yote ya kijamii, akaondoka, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Karibu nikate tamaa, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitendea.
Siku moja, bosi wangu kazini aligundua jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dkt. Dawn. Dkt. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu angerudi kwangu ndani ya siku tatu. Kwa kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao wangu mkubwa, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.
Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa na nguvu na uzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akipenda na kunijali mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa katika miezi miwili tu! ❤️
Shukrani zote kwa Dkt. Dawn, ambaye kwa kweli alifanya jambo lisilowezekana liwezekane. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:
Masuala ya uhusiano au ndoa
Ugonjwa au magonjwa
Matatizo ya utasa au bahati nasibu
Kesi za mahakamani au urejeshaji wa mali
Dkt. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurudisha furaha katika maisha ya watu.
Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com